Asalam aleikum jamiah!
natoa wito kwa vijana wenzangu kuhusu kubadilisha mtazamo wa jamii isiyokuwa ya kiislam ,Yatupasa kuwa makini na matendo,mienendo na tabia zetu.Hii inatokana na ukweli kwamba sisi ndiyo umma bora,lakini ubora wetu hauji hivi hivi tu;rejea aya ya Allah pale aliposema ubora wetu unatokana na nini:
Tofauti na hapo vijana tumekuwa :natoa wito kwa vijana wenzangu kuhusu kubadilisha mtazamo wa jamii isiyokuwa ya kiislam ,Yatupasa kuwa makini na matendo,mienendo na tabia zetu.Hii inatokana na ukweli kwamba sisi ndiyo umma bora,lakini ubora wetu hauji hivi hivi tu;rejea aya ya Allah pale aliposema ubora wetu unatokana na nini:
- kwa kuamrishana mema
- kukatazana mabaya
- kumuamini Allah
- tukiamrishana mabaya
- kukatazana mema
- kuamini katika vitu,mali,pesa na anasa za dunia
Wabillah Tawfiq
No comments:
Post a Comment